RESULTS AZAM VS Ferroviario de Beira
AZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .
No comments:
Post a Comment